1 Thessalonians 5:1-3

Kuweni Tayari Kwa Siku Ya Bwana

1 aBasi, ndugu, kwa habari ya nyakati na majira hatuna haja ya kuwaandikia, 2 bkwa kuwa mnajua vyema kwamba siku ya Bwana itakuja kama mwizi ajapo usiku. 3 cWakati watu wanaposema, “Kuna amani na salama,” maangamizi huwajia ghafula, kama vile utungu umjiavyo mwanamke mwenye mimba; nao hakika hawatatoroka.

Copyright information for SwhNEN